• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Bilioni 4.5 zatengwa kujenga Hospitali 3 za Wilaya Mkoani Rukwa

imewekwa Tar: April 19th, 2018

Serikali imetenga shilingi bilioni 4.5 kwaajili ya ujenzi wa hospitali tatu za wilaya za Mkoa wa Rukwa ili kuboresha huduma zinazotolewa na serikali kwa asilimia mia moja baada ya wilaya hizo kutokuwa na hospitali zake tangu kuanza kwa Mkoa huo mwaka 1974.

Wakati alipokuwa akiongea na wananchi Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amesema kuwa mbali na ujenzi wa hospitali hizo za wilaya pia serikali imeendelea kutoa fedha kwaajili ya ujenzi wa hospitali mpya ya rufaa na kusisitiza kuwa hospitali ya sasa ya rufaa itatumiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga kama hospitali yake ya Wilaya.

Hospitali hizo ambazo zinategemewa kujengwa katika Wilaya ya Nkasi, Kalambo pamoja na Sumbawanga Vijijini katika Kata ya Mtowisa iliyopo katika bonde la ziwa Rukwa zinategemewa kutoa msaada mkubwa kwa wananchi ambao wanaoishi mbali na makao makuu ya Mkoa na hatimae kuipinguzia mzigo hospitali ya rufaa ya Mkoa iliyopo sasa.

“tumedhamiria Seriakli lazima hizi hospitali tatu zijengwe, moja huku katika Halmashauri ya wilaya ya sumbawanga eneo la Mtowisa, Wilaya ya Kalambo  na Wilaya ya Nkasi na kila Wilaya imetengewa Shilingi Bilioni 1.5 na wakati ukifika tutahamasishana kama tulivyofanya kwenye vituo vya afya ili tushambulie kama mchwa na ndani ya muda mfupi iwe tumemaliza,” Alisema.

Mkoa wa Rukwa una Hospitali moja tu ya Rufaa, vituo vya afya 12, na zahanati 172 amabazo zipo chini ya usimamizi wa asilimia mia moja wa serikali ya Tanzania, huku kukiwa na hospitali 2, vituo vya afya 8 na Zahanati 11 zinzomilikiwa na taasisi za kidini pamoja na zahanati 13 zinazomilikiwa na watu binafsi.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa