• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Mwananchi ashangazwa na visanduku vya maoni kwenye Taasisi za Kiserikali

imewekwa Tar: April 18th, 2018

Mwananchi wa Kijiji cha Mtowisa, Kata ya Mtowisa, Tarafa ya Mtowisa, Wilayani Sumbawanga Pius Wapinda ameshangazwa na kitendo cha taasisi mbalimbali za kiserikali kuweka visanduku kwaajili ya kukusanyia maoni ya wananchi lakini hakuwahi kupata mrejesho wa maoni hayo kufanyiwa kazi.

Mwananchi huyo aliiomba serikali kuyafanyia kazi maoni hayo na kufanya mrejesho kupitia mikutano na vikao mbalimbali vinavyofanywa na serikali katika ngazi tofauti ili wananchi wawe na moyo wa kuendelea kutoa maoni hayo pindi wanapoona yanafanyiwa kazi.

“ukipita kwenye maofisi ya kiserikali kuna masunduku mbalimbali pale, yale masanduku ya maoni mimi huwa sioni kama yana maana yoyote na sijui yanatusaidia kitu gani maana sioni mrejesho wake, ningependelea kwenye mikutano kama hii wangekuwa wanatuambia kuanzia mwezi wa kwanza hadi wa kumi tumepokea maoni kadhaa na mrejesho wake ni huu hapa,” Alieleza.

Nae Afisa utumishi wa Halamashuri ya Wilaya ya Sumbawanga Hamis Mangale alisema kuwa ni mwezi mmoja tu tangu akabidhiwe ofisi hiyo na hakufahamu kama utaratibu wa dawati la malalamiko halifanyiwi kazi hivyo aliahidi mbele ya Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo kulichukua hilo na kuhakikisha wanalifanyia kazi ili kukata kiu ya wananchi ambao wengi wamekuwa na malalamiko yanayohusu masuala ya mapenzi.

Katika Kusisitiza hilo Mh. Wangabo alisema kuwa maoni hayo ni vyema yakachukuliwa na taasisi husika ikiwa ni hospitali kuna kamati ya afya, yajadiliwe katika kamati hiyo na hatimae wananchi wapatiwe mrejesho katika vikao mbalimbali kuanzia ngazi ya Kijiji hadi kata.  

Matangazo

  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • REA KUANZA KUSAJILI NA KUUZA MAJIKO BANIFU MKOANI RUKWA

    August 28, 2025
  • MPANGO BORA WA UFUGAJI NYUKI WAWAFIKIA MACHIFU RUKWA

    August 20, 2025
  • TUME YA UCHAGUZI YAZITAKA TAASISI ZA ELIMU YA MPIGA KURA KUZINGATIA SHERIA NA MAELEKEZO

    July 31, 2025
  • RUKWA YAENDELEA KUCHUKUA HATUA THABITI KUDHIBITI VIFO VYA MAMA NA MTOTO

    July 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa