• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

NHC yakataliwa ukandarasi wa majengo ya taasisi za serikali Rukwa.

imewekwa Tar: February 24th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amekataa maombi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kufanya ukandarasi wa majengo mbalimbali ya serikali mkoani Rukwa kutokana na kusimama kwa mradi wanaousimamia kutokamilika kwa muda wa miaka minne.

Maombi hayo yaliwasilishwa kwa Mkuu wa Mkoa na meneja wa Mkoa wa shirika hilo Mhandisi Musa Kamendu baada ya Mh. Wangabo kutembelea mradi wa nyumba 20 za NHC zilizopo sumbawanga mjini ili kujionea maendeleo ya ujenzi wa nyumba hizo ambazo umefikia asilimia 60.

Mradi huo wenye thamani ya shilingi bilioni 1.5 ambao ulianza mwezi juni 2014 na kusimama kutokana na shirika kukosa fedha za kuendeleza na kutarajiwa kuendelea ifikapo mwezi machi mwaka huu amabpo hadi kufikia hapo shilingi 867,990,367 zimeshatumika kati ya 1,532,473,872.

“Tunaona wakati mwwingine serikali inatoa kazi kwa SUMA JKT na kukarabati shule kama Kantalamba Sekondari, sisi kama mkandarasi daraja la kwanza, Mkuu wa Mkoa na viongozi wengine tunawaalika na tunawaomba mtupe hizo kazi, tutazifanya vizuri sana na kwa ufanisi mkubwa, tumesikia kuna miradi mingi, sisi kama wakandarasi tunaomba mtupe hizo kazi,” Mhandisi Kamendu alimalizia.

Katika kujibu maombi hayo Mh. Wangabo alitoa angalizo kuwa endapo mradi wa shirika umeshindikana kumalizika kwa wakati hali hiyo itakuwaje kama wakipewa mradi na taasisi nyingine ya serikali na kuwataka kwanza kumaliza mradi wao ili wawe na ushahidi wa kuonekana katika Mkoa wa Rukwa na sio kuishia kutoa mifano kwa miradi iliyofanyika katika mikoa mingine.

Thamani ya nyumba moja ni shilingi 139,680,000 na ikiwa haikumalizwa gharama yake ni shilingi 118,080,000 bila ya VAT.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa