• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

NHC yakataliwa ukandarasi wa majengo ya taasisi za serikali Rukwa.

imewekwa Tar: February 24th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amekataa maombi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kufanya ukandarasi wa majengo mbalimbali ya serikali mkoani Rukwa kutokana na kusimama kwa mradi wanaousimamia kutokamilika kwa muda wa miaka minne.

Maombi hayo yaliwasilishwa kwa Mkuu wa Mkoa na meneja wa Mkoa wa shirika hilo Mhandisi Musa Kamendu baada ya Mh. Wangabo kutembelea mradi wa nyumba 20 za NHC zilizopo sumbawanga mjini ili kujionea maendeleo ya ujenzi wa nyumba hizo ambazo umefikia asilimia 60.

Mradi huo wenye thamani ya shilingi bilioni 1.5 ambao ulianza mwezi juni 2014 na kusimama kutokana na shirika kukosa fedha za kuendeleza na kutarajiwa kuendelea ifikapo mwezi machi mwaka huu amabpo hadi kufikia hapo shilingi 867,990,367 zimeshatumika kati ya 1,532,473,872.

“Tunaona wakati mwwingine serikali inatoa kazi kwa SUMA JKT na kukarabati shule kama Kantalamba Sekondari, sisi kama mkandarasi daraja la kwanza, Mkuu wa Mkoa na viongozi wengine tunawaalika na tunawaomba mtupe hizo kazi, tutazifanya vizuri sana na kwa ufanisi mkubwa, tumesikia kuna miradi mingi, sisi kama wakandarasi tunaomba mtupe hizo kazi,” Mhandisi Kamendu alimalizia.

Katika kujibu maombi hayo Mh. Wangabo alitoa angalizo kuwa endapo mradi wa shirika umeshindikana kumalizika kwa wakati hali hiyo itakuwaje kama wakipewa mradi na taasisi nyingine ya serikali na kuwataka kwanza kumaliza mradi wao ili wawe na ushahidi wa kuonekana katika Mkoa wa Rukwa na sio kuishia kutoa mifano kwa miradi iliyofanyika katika mikoa mingine.

Thamani ya nyumba moja ni shilingi 139,680,000 na ikiwa haikumalizwa gharama yake ni shilingi 118,080,000 bila ya VAT.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa