• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Rukwa awashukuru wananchi kwa ushirikiano wao katika mbio za Mwenge wa Uhuru

imewekwa Tar: April 11th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen amewashukuru wananchi wote wa Mkoa wa Rukwa kwa kuonesha ushirikiano usio kifani kuhakikisha mbio za Mwenge wa Uhuru zinafanikiwa.

Aliyasema hayo wakati wa Kuuaga Mwenge wa Uhuru na kuukabidhi Mwenge huo kwa Mkoa wa Songwe, Tukio ambalo lililofanyika katika Kijiji cha Mkutano kinachopakana na Mkoa wa Rukwa.

“Napenda nichukue nafasi hii kuwashukuru wote katika Mkoa wa Rukwa walioshiriki kwa namna yoyote ile kuhakikisha kwamba Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2017 zinafanikiwa na kwa kweli zimefanikiwa,” Mh. Zelote Stephen alisema.

Katika Kuelezea faida za kihisia za Mwenge wa Uhuru Mh. Zelote Stephen alisisitiza,  “Tutaendelea kuenzi Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa ambao unaleta matumaini pasipo na matumaini, upendo mahali palipo na chuki na heshima palipo na dharau.”

Pamoja na hayo hakusita kutoa wito kwa wananchi wa Rukwa juu ya kazi kubwa iliyofanywa na Mwenge wa Uhuru na hasa kuitekeleza kwa vitendo kauli mbiu ya  mwaka huu ya isemayo “Shiriki kukuza uchumi wa viwanda kwa maendeleo ya nchi yetu.”

“Wito wangu kwa wananchi wote wa Rukwa kazi kubwa ambayo Mwenge wa Uhuru 2017 umeifanya katika Mkoa wetu ni mtaji ambao tunapaswa kuutumia kuleta maendeleo ndani ya Mkoa na hasa la viwanda jambo ambalo linawezekana kwa kuwa ni Mkoa wa uzalishaji mazao ya kilimo, mifugo na uvuvi,” Mh. Zelote Stephen alimalizia.

Katik tukio hilo Mh. Zelote Stephen hakuacha kumshukuru Kiongozi wa wakimbiza Mwenge Kitaifa Amour Hamad Amour pamoja na wasaidizi wake, Salome Obadia Mwakitalima, Shukran Islam Msuri, Bahati Mwanigusha Lugodisha, Vatima Yunus Hassan pamoja na Fredrick Joseph Ndahani kwa ushujaa, uelewa na ukakamavu wao waliouonyesha ipindi chote walichokuwa katika Mkoa wa Rukwa.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA WA RUKWA ATOA WITO KWA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29, 2025

    October 27, 2025
  • JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI RUKWA LAPOKEA MAGARI MATATU YA KISASA KUIMARISHA SHUGHULI ZA UOKOAJI

    October 27, 2025
  • SERIKALI YATOA PIKIPIKI KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WA HALMASHAURI RUKWA

    October 24, 2025
  • MBIO ZA MWENGE ZAENDELEA KALAMBO RUKWA, MIRADI YA MAENDELEO YAENDELEA KUMULIKWa

    September 30, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa