• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo asisitiza ajira kwa Vijana na kinamama kwa miradi ya ULGSP.

imewekwa Tar: March 12th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amesisitiza wakandarasi wanaoendelea na ujenzi wa barabara zilizochini ya mradi wa uimarishaji miji katika Manispaa ya Sumbawanga kuwapatia vijana ajira ili waweze kufaidika na utekelezaji wa miradi hiyo.

Ameongeza kuwa kwa kufanya hivyo vijana hao watakuwa na ari ya kuitunzana kuilinda miradi hiyo na kufaidi kipato watakachokipata kutokana na kazi mbalimbali watakazokuwa wakizitekeleza amabzo hazihitaji kisomo kikubwa kutekeleza.

“Fedha za miundombinu katika Manispaa yetu ni Bilioni 18, sasa zimewafikia ninyi wananchi kwa shuilingi ngapi? Pamoja na kwamba kuna mitambo hiyo inaendelea lakini kuna kazi ambazo lazima vijana waajiriwe, na sisi tutawasimamia kuhakikisha ya kwamba huu mradi unawanufaisha mnapata ajira, na kina mama pamoja na kwamba kuna kazi hizi za barabara lakini kuna kutayarisha chakula kwa hawa wanaofanya kazi za barabara,” Alisema.

Alisema maneno hayo alipotembelea utekelezaji wa program ya uimarishaji miji (ULGSP) unaosimamiwa na OR – TAMISEMI na kufadhiliwa na Benki ya Dunia kwa zaidi ya shilingi bilioni 23 inayojumuisha miundombinu, mifumo ya utendaji, usimamizi wa masuala ya kimazingira, kuimarisha mifumo ya kifedha na kuboresha upimaji katika mipango ya matumizi bora ya ardhi mijini.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manaipaa ya Sumbawanga Hamid Njovu amesema kuwa kwa ujumla program hiyo itatengeneza Kilometa 11.5 za barabara za lami katika mji wa Sumbawanga kwa kiwango cha “asphalt concrete” na kuahidi kuwa hadi ifikapo mwezi wa tisa mwaka huu miradi hiyo itakuwa imekamilika.

Mmoja wa wananchi waliokuwepo kwenye eneo hilo Barnabas Juakali ametoa shukrani zake kwa serikali ya awamu ya tano kwa kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi na kumshukuru Rais Dkt. John Pombe magufuli kwa kutekeleza yale yote aliyoyaahidi.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI BINGWA 33 WAPOKELEWA RUKWA, HUDUMA ZA KIBINGWA KUTOLEWA HOSPITALI ZA WILAYA KWA SIKU TANO

    May 19, 2025
  • RUKWA YAANZA RASMI MATUMIZI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI KWA ZAO LA MBAAZI NA UFUTA

    May 13, 2025
  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa