• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania PMO - Regional Administration and Local Government Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
      • KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
      • KITENGO CHA MAENDELEO YA JAMII
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo asisitiza ajira kwa Vijana na kinamama kwa miradi ya ULGSP.

imewekwa Tar: March 12th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amesisitiza wakandarasi wanaoendelea na ujenzi wa barabara zilizochini ya mradi wa uimarishaji miji katika Manispaa ya Sumbawanga kuwapatia vijana ajira ili waweze kufaidika na utekelezaji wa miradi hiyo.

Ameongeza kuwa kwa kufanya hivyo vijana hao watakuwa na ari ya kuitunzana kuilinda miradi hiyo na kufaidi kipato watakachokipata kutokana na kazi mbalimbali watakazokuwa wakizitekeleza amabzo hazihitaji kisomo kikubwa kutekeleza.

“Fedha za miundombinu katika Manispaa yetu ni Bilioni 18, sasa zimewafikia ninyi wananchi kwa shuilingi ngapi? Pamoja na kwamba kuna mitambo hiyo inaendelea lakini kuna kazi ambazo lazima vijana waajiriwe, na sisi tutawasimamia kuhakikisha ya kwamba huu mradi unawanufaisha mnapata ajira, na kina mama pamoja na kwamba kuna kazi hizi za barabara lakini kuna kutayarisha chakula kwa hawa wanaofanya kazi za barabara,” Alisema.

Alisema maneno hayo alipotembelea utekelezaji wa program ya uimarishaji miji (ULGSP) unaosimamiwa na OR – TAMISEMI na kufadhiliwa na Benki ya Dunia kwa zaidi ya shilingi bilioni 23 inayojumuisha miundombinu, mifumo ya utendaji, usimamizi wa masuala ya kimazingira, kuimarisha mifumo ya kifedha na kuboresha upimaji katika mipango ya matumizi bora ya ardhi mijini.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manaipaa ya Sumbawanga Hamid Njovu amesema kuwa kwa ujumla program hiyo itatengeneza Kilometa 11.5 za barabara za lami katika mji wa Sumbawanga kwa kiwango cha “asphalt concrete” na kuahidi kuwa hadi ifikapo mwezi wa tisa mwaka huu miradi hiyo itakuwa imekamilika.

Mmoja wa wananchi waliokuwepo kwenye eneo hilo Barnabas Juakali ametoa shukrani zake kwa serikali ya awamu ya tano kwa kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi na kumshukuru Rais Dkt. John Pombe magufuli kwa kutekeleza yale yote aliyoyaahidi.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 December 06, 2025
  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2025 November 05, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA AFYA RUKWA WAHIMIZWA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU BIMA YA AFYA KWA WOTE

    December 17, 2025
  • BODI YA USHAURI YA HOSPITALI YA RUFAA SUMBAWANGA YAZINDULIWA, YAAGIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA MENEJIMENTI KUBORESHA HUDUMA.

    November 28, 2025
  • PPRA YAANZA MAFUNZO KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM KUSHIRIKI UNUNUZI WA UMMA

    December 25, 2025
  • RC MAKONGORO AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA AMANI RUKWA , ASISITIZA UOMJA NA KULINDA AMANI KWA MAENDELEO YA MKOA

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa