• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

RC Wangabo awahamisha wananchi kuchangia na kujitokeza kuipokea timu ya Tanzania Prisons

imewekwa Tar: August 19th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wanagbo amewaomba wananchi wa mkoa huo kujitokeza kwa wingi kuipokea timu ya Tanzania Prisons itakapowasili rasmi mjini sumbawanga leo tarehe 21.8.2020 kwaajili ya kuweka makazi na kuanza maandalizi ya mashindano ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara.

Pia amemshukuru Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali Selemani Mzee kwa kuridhia timu hiyo kuhamia katika mji wa Sumbawanga, baada ya uongozi wa mkoa kufanya mazungumzo nae na hivyo kuchukua nafasi hiyo kuthibisha taarifa za timu hiyo kuhamia Mkoani Rukwa.

"Hali kadhalika nawaomba Wananchi wa Mkoa wa Rukwa kutoa Michango yao ya hali na mali ya kuiwezesha Timu hiyo kuweka Makazi yao ya kudumu hapa Sumbawanga na pia kuwezesha gharama za Maandalizi."

Mh. Wangabo aliitaja Akaunti namba ambayo wananchi wanatakiwa kuichangia timu hiyo ili kuweza kuendelea na maandalizi ya Ligi kuwa ni 9921169733 jina la Akaunti RUKWA SUB TREASURY MISC. DEPOSIT EXP ACCOUNT Benki Kuu ya Tanzania (BOT).

Aidha, Mh. Wangabo alisema kuwa kwa zaidi ya miaka 23 Mkoa wa Rukwa umekosa timu ya mpira wa miguu inayoshiriki mashindano yenye sura ya kitaifa hali ambayo imeathiri maendeleo ya soka katika mkoa nanjari na manufaa mengine ya kiuchumi na kijamii.

Mh. Wangabo aliongeza kuwa ufanisi wa Fainali ya Kombe la Shirikisho (ASFC) ulikuwa chachu ya kutafuta timu ya Ligi Kuu ili kuleta furaha kwa wananchi wa Rukwa na Mikoa ya jirani sambamba na kukuza vipaji vya soka pamoja na kuinua hali ya uchumi wa wananchi wa Rukwa kwa ujumla.

Timu hiyo ya Tanzania Prison inatarajia kufungua mchezo wake wa kwanza ugenini ikipambana na timu ya Young Africans katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dare es Salaam tarehe 6 Septemba, 2020 huku mchezo wa kwanza katika Uwanja wa nelson mandela ukitarajiwa kuchezwa tare 19 Septemba 2020.  

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa