• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Serikali yatoa Shilingi Bilioni 1.2 kujenga vituo vya afya vipya Rukwa.

imewekwa Tar: October 10th, 2018

Serikali kupitia Wizara ya Oisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imetoa kiasi cha shilingi bilioni 1.2 kwaajili ya ujenzi wa viyuo vipya vya afya katika mkoa wa Rukwa ikiwa na lengo la kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za matibabu katika ngazi zote ambapo tayari mchakato wa ujenzi umeanza.

Taarifa hiyo imetolewa na mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo alipokuwa akifungua kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichokaliwa tarehe 9.10.2018.

Mh. Wangabo amesema kuwa juhudi hizo zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano zitasaidia kuboresha afya za wananchi ikiwemo kupunguza masuala ya udumavu ambapo mkoa wa Rukwa una asilimia 56.3 na kupunga maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ambayo yapo asilimia 4.4. kwa kupata elimu kupitia vituo hivyo.

“Serikali katika kuendelea kuipa kipaumbele Sekta ya Afya imeongeza idadi ya vituo vya afya vingine vitatu vijengwe ambavyo ni Kituo cha Afya Pito Katumba Tsh.400,000,000, Kituo cha Afya wapembe Tsh. 400,000,000 na Kituo cha Afya Kanyezi Tsh. 400,000,000 ambapo tayari mchakato wa ujezi umeanza.” Alisema.

Hapo awali serikali ilitoa shilingi bilioni 2.5 kwaajili ya ujenzi na upanuzi wa vituo vya afya sita vya mkoa huo ikiwemo Kituo cha Afya Mazwi katika Manispaa ya Sumbawanga, Kituo cha Afya Nkomolo, Wilayani Nkasi, Vituo viwili vya afya vya Mwimbi na Legeza Mwendo, Wilayani Kalambo na kituo cha Afya Milepa katika halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa