• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

“Siuingili mhimili wa mahakama kwa kusikiliza kero za wananchi” RC Wangabo.

imewekwa Tar: February 20th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewatahadharisha wananchi juu ya kuingilia Mhimili wa mahakama baada ya kupokea malalamiko ya wakulima 112 waliouza tani 622 za mahindi kwa chama cha ushirika cha mazao MUZIA AMCOS bila ya kulipwa fedha zao kwa msimu wa 2016/2017 ambapo kesi hiyo ipo mahakamani na kutegemewa kusikilizwa tarehe 27/2/2018.

Wananachi hao wanaokidai chama hicho Shilingi Milioni 315 wameiomba serikali kuchukua mzigo huo wa deni baada ya chama hicho kutoa ahadi kadhaa za malipo tangu tarehe 10/10/2017 na kushindwa kulipa na kupelekea wananchi hao kushindwa kujiendeleza kiuchumi.

Amesema kuwa haingilii mahakama pale anaposikiliza kero za wananchi isipokuwa kesi ikiwa mahakamani hana mamlaka ya kumlazimisha Jaji cha kufanya kwani mahakama zinataratibu zao za kuendesha kesi na kuwasihi wakulima kusubiri hukumu ya kesi hiyo ndipo aweze kushughulikia na kuwahakikisha kupata haki yao pindi hukumu itakapotoka.

“Tumeambiwa hapa kuwa hilo suala ltasikilizwa tarehe 27/2/2018, sasa hebu tusubili tuone ile hukumu itatoka na itakuwa ya namna gani kwahiyo siwezi kuisemea, nikiisemea inamaana nitakuwa naingilia uhuru wa mahakama, tusubiri tusikie hukumu itasemaje juu ya kuipata hiyo fedha milioni 315, wakulima watapataje na mhukumiwa atapewa adhabu gani, ikishatoka ndipo serikali tutajua tufanye kitu gani,” Alisisitiza.

Awali akisoma risala fupi kwa niaba ya mrajisi wa vyama vya ushirikia Mkoa wa Rukwa Nicolas Mrango alisema kuwa baada ya kubaini kasoro kadhaa katika chama hicho waliitisha kikao cha bodi na wajumbe wa bodi hiyo walielekeza lawama kwa Mwenyekiti na katibu wa chama hicho na kupelekea viongozi hao kufikishwa polisi na hatiame kesi kufikishwa mahakamani.

“Miongoni mwa hatua zilizochukuliwa ni pamoja na kuwasimamisha uongozi viongozi waliotuhumiwa kuhusika na upotevu wa mahindi ya wakulima ili kupisha vyombo vya uchunguzi kutekeleza majukumu yake pasipo kuingiliwa,” Alisema.

Nae katibu wa wakulima kata ya Mambwekenya Geofrey Siyame aliitaka serikali kuchukua mzigo wa deni kwakuwa serikali ndio iliyotoa uwakala wa kununua mahindi ya wakulima kwa chama hicho na kueleza kuwa hadi sasa wameshindwa kununua pembejeo ili kuendelea na shughuli za kilimo na kuwa hawana Imani na mahakama.

“Tumepata taarifa kwamba serikali imepeleka madai mahakamani, mahakama imekuwa ikirusha tarehe kile kesi inapotanjwa kwa madai upelelezi unaendelea, kwanininuchunguzi unachukua muda mrefu, wakulima mpaka sasa hawana Imani na mahakama baada ya kutishiwa na mdaiwa kuwa anadili na mahakama,” Alisema.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa