• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

WAHANGA WA MAAFA KIJIJI CHA MSILA NA KASEKELA WAKABIDHIWA MSAADA

imewekwa Tar: May 11th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mh. Queen Cuthbert Sendiga amekabidhi misaada ya kiutu kwa kwa wahanga wa mafuriko yaliyotokea mapema mwezi Aprili 2023 katika Kata ya Mfinga Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Misaada ilivyokabidhiwa ni pamoja na Maharage kilo 1120, unga wa sembe kilo 1440, Mafuta ya kupikia lita 154, mikeka, vyandarua, mablanketi seti za masufuria na miche 250 ya miti ili kusaidia kurejesha uoto katika maeneo yaliyoathirika.

Akikabidhi misaada hiyo Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ameagiza mgawanyo wa misaada hiyo uzingatie mahitaji na wakati wa ugawaji kipaumbele wapewe watoto, wajawazito na akina mama wanaonyonyesha.

Kiongozi huyo wa Mkoa ameitaka Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kutafuta dawa kwa ajili ya kutibu maji baada ya kupokea maombi ya wakaazi wa vijiji hivyo vilivyoathiriwa na mafuriko. Amemwelekeza Meneja wa Mamlaka hiyo Wilayani Sumbawanga kuhakikisha maji ya visima vilivyopo yanatibiwa ili wananchi wapate maji safi na salama kwa haraka wakati mradi mkubwa wa maji unaoendelea kutekelezwa kwa awamu ukiendelea.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amewaagiza wananchi wa Kijiji cha Msila, Kasekela na wananchi wote wa Mkoa wa Rukwa kuondoka na kuacha kulima kandokando ya mito kwa hiyari yao wenyewe kabla ya kuondolewa kwa shuruti. Amewaambia wananchi hao kuwa mafuriko na mabadiliko ya tabia nchi yanachangiwa kwa kiasi kikubwa na uharibifu  mkubwa wa mazingira unaofanyika kandokando ya mito, milimani na katika vyanzo vya maji na maeneo mengine.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa