• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Wanahabari ‘wafundwa’ kuhusu chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi

imewekwa Tar: April 20th, 2018

Katibu tawala wa Mkoa wa Rukwa Benard Makali amewaasa waandishi wa habari wa mkoa wa Rukwa kuhakikisha wanatoa elimu sahihi juu ya chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi inayotarajiwa kuzinduliwa katika wiki ya mwisho ya mwezi huu wa nne.

Amesema kuwa wananchi wengi wanaamini zaidi vyombo vya habari hivyo waandishi wa habari wakiandika habari sahihi kuhusu chanjo hiyo itawashawishi wengi kujitokeza kushiriki katika zoezi hilo ambalo nia yake ni kuokoa maisha ya wasichana kwa manufaa ya kizazi hiki na kijacho.

“Lengo kuu la kuwaiteni ni kuomba ushiriki wenu wa hali na mali katika maadalizi na wakati wa utoaji wa chanjo hii muhimu, na kwa kutambua umuhimu wa tasnia hii ya habari, serikali kupitia Wizara ya afya, maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto kwa kushirikiana na wadau wengine wa chanjo nimeona ni vyema wanahabari mkapata fursa ya kupewa elimu ya kutosha kuhusu zoezi hili ili muweze kufikisha ujumbe kwa jamii,” Alisisitiza.

Aliyasema hayo alipokuwa akifungua semina ya siku moja kwa waandishi wa habari wa mkoa wa Rukwa kuhusu uanzishwaji wa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi katika mkoa iliyofanyika katika ukumbi wa hospitali ya rufaa ya mkoa.

Kwa upande wake mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa Mkoa wa Rukwa Musa Mwangoka amesema kuwa mafunzo hayo yamewasaidia katika kulielewa zoezi hilo linaloendelea kwa kina na kuahidi kutoa ushirikiano katika kufikisha ujumbe kwa jamii ili kuokoa maisha ya wasichana hao.

Aidha mwakilishi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI anayetokea katika idara ya afya ya wizara hiyo Nkinda Shekalaghe amesema kuwa waandishi wa habari wakipata taarifa sahihi nao huzifikisha katika jamii katika usahihi ule ule uliokusudiwa na watakaopokea taarifa watapokea kwa usahihi na zilizo kamili.

Matangazo

  • RATIBA YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE August 20, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2025 August 20, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2025 July 08, 2025
  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • REA KUANZA KUSAJILI NA KUUZA MAJIKO BANIFU MKOANI RUKWA

    August 28, 2025
  • MPANGO BORA WA UFUGAJI NYUKI WAWAFIKIA MACHIFU RUKWA

    August 20, 2025
  • TUME YA UCHAGUZI YAZITAKA TAASISI ZA ELIMU YA MPIGA KURA KUZINGATIA SHERIA NA MAELEKEZO

    July 31, 2025
  • RUKWA YAENDELEA KUCHUKUA HATUA THABITI KUDHIBITI VIFO VYA MAMA NA MTOTO

    July 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa