• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

WANANCHI MKOANI RUKWA WATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA ILI KUTEKELEZA KWA VITENDO KAULI MBIU YA MWENGE WA UHURU 2023

imewekwa Tar: August 30th, 2023


Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa 2023 Ndg. Abdalla Shaib Kaim amewata wananchi wa Mkoa wa Rukwa kutunza mazingira kwa kupanda miti na kutunza vyanzo vya maji  ili kutekeleza kwa vitendo kauli mbiu ya mwenge wa Uhuru 2023 isemayo ”Tunza Mazingira, Okoa vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Viumba Haina Uchumi wa Taifa” .

Ndg Abdalla Shaib Kaim ametoa ujumbe huo alipokuwa akiongea na hadhara ya wananchi Wilayani Kalambo katika Kata ya Kasanga alipokuwa akitoa ujumbe wa Mwenge wa Uhuru 2023. Amewataka wananchi hao kuacha kuchoma moto hovyo, kutakata miti hovyo, kuepuka kutimia vifungashio vya plastiki na kuhifadhi vynazo vya maji ili kuweza kutekeleza kwa vitendo Kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru  na kuunga jitihada za Serikali ya awamu ya sita  katika utunzaji wa mazingira.

Mwenge wa Uhuru leo Agosti 30 2023 umezindua miradi 02, umeweka mawe ya msingi Miradi 02 na umekagua miradi 02 katika Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo yenye thamani ya Shilingi Bilioni 3.

Miradi iliyozindundiliwa ni  miradi  wa Maji Kata ya Kalaela wenye thamani ya Shilingi Milioni 436,uzinduzi wa Zahanati Kata ya Mbuza wenye thamani ya Shilingi Milioni 154 , Uwekaji wa jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa Bweni la Wanafunzi wenye Mahitaji Maalu  shule ya Msingi Msanzi A  yenye thamani ya shilingi Milioni 113, umeweka jiwe la msingi ujenzi wa Soko la Samaki katika kata ya Kasanga  lenye Thamani ya Shilingi Milioni Bilioni 1.4  na kukagua  mradi wa ujenzi wa Barabara ya Matai- Kisungamile kwa kiwango cha lami Km 1.5 na ukaguzi wa boti 02 za doria katika ziwa Tanganyika.

Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo, RUWASA na TARURA  wamepongezwa kwa kusimamia miradi vizuri ambayo inazingatia ubora pamoja na thamani ya fedha huku Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa akisisitiza kuhakikisha maelekezo yote yaliyotolewa yanafanyiwa kazi.

Matangazo

  • RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2025 April 15, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024 January 04, 2025
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE 2024 January 04, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONGORO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO, ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UMEME

    May 05, 2025
  • JAMII YAASWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWAHUDUMIA WAZEE

    March 19, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI MKOA WA RUKWA

    January 09, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA ZAWADI ZA MSIMU WA SIKUKUU WA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA NA WENYE MAHITAJI MAALUM MKOANI RUKWA

    December 31, 2024
  • Angalia Zote

Video

LIVE- WAZIRI MCHENGERWA ANATAO TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miundombinu ya Rukwa
  • Uvuvi
  • Mikakati ya Mkoa
  • Industries
  • Madini
  • Speeches
  • Huduma za Kilimo
  • Regional History
  • Hotuba

Viunganishi Linganifu

  • Pakua Salaryslip yako hapa
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Mfumo wa Kutuma, Kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi
  • Watumishi portal
  • Tafuta ajira Serikalini
  • Pata kila kitu kutoka serikalini

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa