• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Videos

  • Serikali yatoa misaada kwa Nyumba 336 zilizoathiriwa na Mvua kali Rukwa

    December 17th, 2018

    Serikali kupitia Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule ambaye pia alikuwa kaimu Mkuu wa Mkoa wa Rukwa alikwenda kuzitembelea kaya 336 zilizoathiriwa na mvua na upepo mkali uliotokea usiku wa tarehe 8.12.2018 na kuahidi kutoa kilo 5 za unga wa sembe kwa kila kaya kama kianzio huku misaaada mingine ikiendelea kusubiriwa

  • Manispaa ya Sumbawanga yaibuka mshindi wa kitaifa mbio za mwenge wa uhuru

    October 15th, 2018

    Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa imeibuka mshindi wa kitaifa wa mbio za za Mwenge wa Uhuru uliowashwa mwezi April katika viwanja vya magogo Mkoani Geita na na kuzimwa mwezi oktoba siku ya kumbukumbu ya kifo cha Mwl. Julius Nyerere katika Kiwanja Mkwakwani Mkoani Tanga na kukimbizwa katika Halmashauri 195 nchini.

  • Halmasahuri Mkoani Rukwa zatenga milioni 79 kununua mbegu za kahawa.

    October 11th, 2018

    Zao la kahawa ni miongoni mwa mazao matano ya biashara ambayo serikali ya awamu ya tano imeamua kwa dhati kutilia mkazo uzalishaji wake, kwa mkoa wa Rukwa zao hilo ndio zao ambalo limeonekana kustawi kwenye baadhi ya maeneo na kupelekea halmashauri za mkoa huu kutenga shilingi milioni 79 kwaajili ya kununua mbegu ili kuendeleza zao hilo.

    Mkuu wa Mkoa wa rukwa Mh. Joachim Wangabo amesema kuwa kama mkoa hatuna budi kutilia mkazo uanzishaji na uendelezaji wa zao hili ili wakulima wetu waweze kuwa na zao la biashara na kubainisha kuwa tayari maeneo kwaajili ya kilimo hicho yameshabainishwa ambapo makampuni, taasisi na wakulima wameonyesha nia ya kulima.

    “Eneo la kiasi cha ekari 3,195.83 limebainishwa kwa ajili ya kulimwa zao la kahawa. Jumla ya wakulima 2,266 na taasisi 9 zitajihusisha katika uzalishaji wa kahawa. zikiwemo taasisi za Jeshi la Magereza pamoja na Jeshi la Wananchi Tanzania.”Alisema.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • Next →

Matangazo

  • Matokeo ya Kidato cha SITA 2018 July 16, 2018
  • Matokeo ya Darasa la 7 mwaka 2018 Mkoani Rukwa. October 23, 2018
  • WATAHINIWA WALIOFAULU KWA NAFASI YA SHULE ZA KUTWA MWAKA 2019 MKOA WA RUKWA December 17, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Japan Yatoa Msaada wa Vifaa Vya Upasuaji Rukwa vyenye thamani ya shilingi Milioni 139

    November 12, 2019
  • JAJI MKUU AISHAURI SERIKALI KUWATATHMINI WAPELELEZI NA WAENDESHA MASHITAKA

    November 11, 2019
  • Mkuu wa Shule ya Sekondari Mzindakaya Mkoani Rukwa ajisalimisha polisi kwa kubaka

    October 21, 2019
  • Wananchi watakiwa kujitokeza kupeleka watoto wenye miezi 9 hadi 59 kupata chanjo.

    October 16, 2019
  • Angalia Zote

Video

Kisa Kamili cha Mama Mjamzito Kujijeruhi tumboni chafafanuliwa na RMO Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

  • Bunge
  • Takwimu Huria
  • Ikulu
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa