• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
Rukwa Region
Rukwa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Rukwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Huduma za Kisheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Sumbawanga
    • Wilaya ya Nkasi
    • Wilaya ya Kalambo
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Sumbawanga
    • H/Wilaya ya Nkasi
    • H/Wilaya ya Kalambo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Utalii
    • Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Miundombinu ya Rukwa
  • Huduma zetu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Livestocks
    • Huduma za Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Huduma za Kisheria
    • Fomu Mbalimbali
    • Fedha
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Waliofaulu na Waliochaguliwa Shule

Videos

  • Uongozi wa Mkoa Rukwa wachangia Milioni 5.7 kumalizia Ujenzi wa Msikiti Sumbawanga.

    March 7th, 2018

    Uongozi wa Waislamu Mkoani Rukwa umepokea kwa furaha mchango wa Shilingi Milioni 5.7 uliotolewa na uongozi wa serikali ya Mkoa wa Rukwa ukiongozwa na Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo katika kikao cha maridhiano juu ya ujenzi wa msikiti uliosimama kwa muda. Fedha hizo zilizochangwa zilijumuisha ahadi, fedha taslimu pamoja na vifaa vya ujenzi vilivyotolewa kwa umoja wa viongozi wa serikali kuonesha mshikamano uliopo kati ya serikali na wananchi bilaya kujali itikadi, dini wala rangi huku Mh. Wangabo akichangia milioni 1.5

  • Salamu za JPM kwa waislamu wa Sumbawanga, Rukwa kuhusu msikiti

    March 7th, 2018

    Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akiwasilisha salamu za Rais Dk. John Pombe Magufuli kwa waislamu wa Sumbawanga Mkoani Rukwa zikisisitiza kuendelea kwa ujenzi wa msikiti na kuendeleza mshikamano kujenga Rukwa moja.

  • “Hatutaki kusikia Zero Kantalamba Sekondari” RC Wangabo.

    February 28th, 2018

    Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameitahadharisha bodi ya shule ya Sekondari Kantalamba kuhakikisha wanaweka mikakati ya kuondoa daraja la sifuri katika shule hiyo kongwe nchini iliyoanzishwa mwaka 1964 na Kanisa Katoliki na hatimae kukabidhiwa rasmi serikali mwaka 1968.

    Amesema kuwa shule hiyo haina hadhi ya kuwa na daraja la sifuri kutokana na kutoa viongozi mbalimbali walioiongoza nchi hii na kuwa serikali kwa makusudi imetoa shilingi Bilioni 1.1 ili kuboresha miundombinu ya shule hiyo hivyo haipendezi kusikika ikiendelea kutoa daraja la sifuri kuanzia kidato cha pili hadi cha sita.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC Wangabo apania kufufua kasi ya vyama vya ushirika kuimarisha uchumi wa wananchi Rukwa

    August 15, 2019
  • Wananchi Rukwa kushiriki kuchangia Damu kusaidia Majeruhi ajali ya Morogoro

    August 13, 2019
  • DC Mtanda awatahadharisha kinababa wenye tabia ya kunyonya maziwa ya mama

    August 01, 2019
  • “Ushiriki wa Kinababa ni muhimu katika wiki ya Unyonyeshaji” RC Wangabo.

    July 31, 2019
  • Angalia Zote

Video

Kisa Kamili cha Mama Mjamzito Kujijeruhi tumboni chafafanuliwa na RMO Rukwa
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wapitiaji

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa