Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kamishna Mstaafu Zelote Stephen anesifu teknolojia iliyovumbuliwa na wanafunzi wa Chuo cha ardhi kwa kuweza kurahisisha matumizi ya maji katika kilimo na hatimae kuachana na kilimo cha kutegemea mvua.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kamishna Mstaafu Zelote Stephen amewashauri Askari magereza kuwatumia vizuri wafungwa katika uzalishaji wa Bidhaa mbalimbali ili wanapotoka wawe na ujuzi na kuweza kujiajiri
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa KamishnMstaafu Zelote Stephen ameishauri kamati ya maandalizi ya nanenane nyanda za juu kusini kufikiria kushirikisha nchi za SADC ili kuongeza hamasa na kuleta ushindani kwa watanzania wafahamu yanayofanyika katika nchi za jirani.
Hakimiliki © 2017 Mkoa wa Rukwa. Haki Zote Zimehifadhiwa