imewekwa Tar: February 1st, 2024
Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere Mkuu wa Mkoa wa Rukwa ameshiriki sherehe za Siku ya Sheria nchini ( Law Day). Sherehe hizo hufanyika tarehe 01 ya mwezi Februari kila Mwaka.
...
imewekwa Tar: January 31st, 2024
RC MAKONGORO ATAKA JITIHADA ZAIDI KUONGEZA UFAULU.
Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amewataka walimu wa shule za Msingi na Sekondari kuongeza jitihada Ili kuinua za...
imewekwa Tar: January 8th, 2024
Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere Mkuu wa Mkoa wa Rukwa ameishukuru na kuipongeza Serikali kwa kukamilisha miundombinu ya Elimu.
Makongoro amesema kuwa kwa mara ya kwanza nchini miundom...