imewekwa Tar: June 12th, 2024
Kongamano la Shirikisho la Machinga Tanzania(SHIUMA) limefanyika katika Ukumbi wa Nazareth Mkoani Rukwa leo tarehe 12 Juni 2024. Lengo la Kongamano hilo ni kumpongeza Mheshimiwa Rais...
imewekwa Tar: June 5th, 2024
Vyama vya ushirika vinavyojihusisha na mazao ya mahindi na mpunga Mkoani Rukwa vimenufaika na mkopo wa shilingi Bilioni 2.1 kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 na 2023/2024.
Mrajis Msaidizi, Bw M...
imewekwa Tar: June 2nd, 2024
Manispaa ya Sumbawanga ni miongoni mwa Halmashauri zilizopokea fedha ya Ruzuku kutoka Serikali kuu kiasi cha Tsh. 1,662,200,000 kwa ajili ya miundombinu mbalimbali katika Shule za Sekondari.
...